Back to home
Rais Ruto aongoza mkutano wa Marais
video
C
Citizen TV (Youtube)August 14, 2025
3mo ago
Rais William Ruto na rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa wamefanya kikao na marais wa jumuia ya afrika mashariki na jumuiya ya maendeleo ya mataifa ya kusini mwa Afrika (SADC) kuzungumzia juhudi za kurejesha amani katika jamhuri ya kidemkrasia ya Congo
Advertisement


