Back to home

Kongamano la ugatuzi yakamilika baada ya siku nne

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 15, 2025
4w ago
Kongamano la ugatuzi linakamilika hii leo katika kaunti ya Homa Bay ambapo naibu rais Profesa Kithure Kindiki anatarajiwa kufunga kikao hicho ambacho kimeendelea kwa siku nne. Magavana walikongamna Homa Bay kuzungumzia mafanikio na changamoto katika sekta za uchumi, miundomsingi,