Back to home

Murkomen akutana na machifu

video
August 15, 2025
3w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Machifu na naibu chifu zaidi ya 8,102 nchini wanatarajiwa kupokea mafunzo ya usalama na ujuzi wa kisheria ambapo 1,000 yao tayari wameanza kupata mafunzo katika Chuo cha Kitaifa cha Polisi, Embakasi A, jijini Nairobi..