Back to home

Viongozi wa DCP wahimiza wafuasi kuwa watulivu wakisubiri marejeo ya Gachagua nchini

video
August 20, 2025
4h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Viongozi wa chama cha DCP kinachoongozwa naye aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua tawi la Nakuru wameendelea kukashifu onyo la waziri wa usalama Kipchumba murkomen na kuwarai wananchi kudumisha amani na hali ya utulivu na pia kuwarai wasiharibu mali na biashara watakapomkaribis..