Back to homeWatch Original
Nchi za Kenya na Morocco zaimarisha diplomasia
video
August 20, 2025
6h ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Waziri mkuu na wa masuala ya kigeni Musalia Mudavadi amesema kuwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi ya kenya na morocco umeimarishwa kutokana na kufunguliwa rasmi kwa ubalozi wa kenya jijini rabat mwaka wa 2023. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today..