Back to homeWatch Original
Serikali kuhamisha shule ya msingi ya El Molo Bay
video
August 21, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Serikali sasa itahamisha shule ya Msingi ya El Molo Bay iliyoko eneo la Loiyangalani, kaunti ya Marsabit kufuatia tishio la shule hiyo kuzama kutokana na kuongezeka kwa maji ya ziwa Turkana...