Back to home

Wakazi wa Nyamache waishi kwa hofu kutokana na ongezeko la uhalifu

video
August 21, 2025
6d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wafanyibiashara kadhaa katika soko la Nyamache huko Bobasi kaunti ya Kisii wanaishi kwa hofu kutokana na kuongezeka kwa uhalifu. Genge la vijana lilinaswa kwenye kanda ya cctv likiiba katika duka moja la viatu eneo hilo...