Back to home

Citizen yaomba radhi kwa Keith Chacha kutokana na taarifa zilizomhusisha na kifo cha Elvis Munene

video
August 21, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kwenye taarifa zetu za Nipashe zilizopeperushwa tarehe 21 Februari 2025 saa moja jioni, tuliangazia taarifa kuhusu kifo cha Elvis Munene ambaye aliripotiwa kutoweka tarehe 29 mwezi Januari, 2025. Taarifa hiyo huenda ilieleweka kumhusisha Keith Chacha na kifo hicho. Uchunguzi wetu..