Back to home

Mafuriko ya ziwa Baringo yaharibu barabara ya Marigat-Chemolingot, usafiri kusitishwa

video
August 21, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Huduma za usafiri katika barabara ya Marigat kuenda Chemolingot zimelemazwa, baada ya maji kutoka ziwa baringo kusomba sehemu ya barabara hiyo. Kulingana na wakazi, hali imekuwa mbaya kwa miezi miwili huku mvua inayonyesha sasa ikiendelea kuharibu barabara hiyo..