Back to homeWatch Original
Maelfu ya watu wamekwama barabarani baada ya barabara kufungwa
video
August 22, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Maelfu ya watu wamekwama katika barabara mbali mbali jijini Nairobi na viunga vyake kutokana na msongamano mkubwa uliosababishwa na kufungwa kwa baadhi ya barabara za jiji la nairobi kwa minajili ya mchuano wa chan baina ya timu ya Harambee stars na ile ya Madagasca Kasarani...