Back to home

Magavana wataka Ilchamus kuteuliwa Bungeni

video
August 22, 2025
9h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Magavana watatu kutoka jamii ya maa katika kaunti za Kajiado, Narok na Samburu wamesema kuwa wataunga mkono mkono chama cha kisiasa ambacho kitatoa nafasi ya uteuzi katika bunge la kitaifa au Seneti kwa jamii ya Ilchamus inayotoka kaunti ya Baringo...