Back to home

Hospitali za kibinafzi zinalalamikia malipo

video
August 23, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mamlaka ya Bima ya Afya ya Jamii (SHA) imeingia lawamani baada ya kufichuliwa kuwa madai ya mabilioni ya shilingi hayajalipwa, hali inayotishia kufunga hospitali binafsi na za kidini ambazo huhudumia karibu nusu ya wagonjwa nchini..