Back to home

Mzozo wa nyumba za serikali | Serikali na kanisa la PCEA wavutana kwa Shamba

video
August 24, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

HALI YA TAHARUKI IMEENDELEA KUSHUHUDIWA ENEO LA ONGATA RONGAI KAUNTI YA KAJIADO AMBAKO MZOZO WA SHAMBA KATI YA SERIKALI YA KITAIFA NA KANISA LA PCEA MACEDONIA UMEENDELEA KUTOKOTA. HOFU HII IKIZIDI BAADA YA UJENZI WA NYUMBA ZA SERIKALI KUONEKANA KUANZA KATIKA SHAMBA HILO..