Back to homeWatch Original
Wanafunzi bado wamesalia nyumbani kanunti ya Homa Bay
video
August 27, 2025
5h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wanafunzi wengi bado wamesalia nyumbani muhula wa tatu unapoingia siku yake ya tatu hivi leo, viongozi na washika dau wa elimu sasa wanaonya kuwa hali hii italemaza pakubwa sekta ya elimu katika katika eneo hili...