Back to homeWatch Original
Wataalam wahoji utekelezaji wa Katiba miaka 15 baadaye
video
August 27, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Miaka 15 tangu kuanza kutumika kwa katiba ya sasa, utekelezaji wake umetajwa kuwa tamu chungu huku baadhi ya vipengee muhimu vya katiba vikikosa kuzingatiwa kikamilifu. Baadhi ya wataalam wa katiba na sheria wakitaka maswala kama vile kuhusisha wa wakenya kwenye maamuzi na hata m..