Back to home

Changamoto za utekelezaji wa katiba | Wanaharakati wateta kuhusu katiba kuhujumiwa

video
August 27, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kenya inapoadhimisha miaka 15 ya katiba ya sasa, mashirika ya kijamii yameelezea wasiwasi wake kuhusu kile wanachotaja kuwa mapungufu makubwa katika utekelezaji wake. Mashirika haya sasa yakisema kuwa vipengee muhimu haswa vinavyoangazia haki za binadamu na uongozi bado havijatek..