Back to home

Barongo Nolfason: Rais Ruto angekuwa na msimamo mkali wa ufisadi, angemwambia Duale asonge kando

video
August 28, 2025
3h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mbunge Barongo Nolfason: Iwapo Rais Ruto angekuwa na msimamo mkali wa kupambana na ufisadi, angemwambia Waziri Duale kuwa kutokana na ubadhirifu wa mali ya umma, asonge kando ili uchunguzi ifanywe lakini kwa sababu Duale ni rafiki yake, hakutakuwa na chochote..