Back to homeWatch Original
Waathiriwa wa maandamano bado wanaumia miezi miwili baadaye
video
August 31, 2025
6d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Baadhi ya vijana walioathirika na maandamano wameendelea kuuguza majeraha, miezi miwili baada ya maandamano ya juni 25. Vijana hawa sasa wakisema wanakosa mbinu za kujikimu baada ya risasi walivyofyatuliwa wakati huo kusimamisha kabisa shughuli zao..