Back to home

Chama cha DCP chashutumu serikali kwa vitisho vya kisiasa na hujuma

video
September 1, 2025
3h ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Chama cha DCP kimeishutumu serikali kwa vitisho vya kisiasa na hujuma baada ya mkutano wake huko Mbeere Kaskazini kuvurugwa siku ya Jumapili na kusababisha machafuko. polisi wanatuhumiwa kwa kurusha vitoza machozi kwenye umati wa watu waliojumuisha wanawake na watoto. Subscrib..