Back to homeWatch Original
Utekelezaji wa miradi ya maji Kaunti ya Makueni wakumbwa na uharibifu wa miundombinu
video
September 1, 2025
2d ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Utekelezaji wa miradi ya maji katika Kaunti ya Makueni umekumbwa na changamoto za uharibifu wa miundombinu, ambapo serikali ya kaunti imeripoti kupoteza miradi ya maji ya thamani ya zaidi ya shilingi milioni hamsini katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Subscribe and watch NT..