Back to home

Vijana wahamasishwa Mbooni

video
September 2, 2025
7h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Vijana wametakiwa kujiepusha na utumizi wa dawa za kulevya na badala yake kujihusisha na mambo yanayoweza kuwafaidi kama michezo. Mbunge wa Mbooni Erastus Kivasu Nzioka anasema vijana wanaweza kutumia talanta zao kujikimu kimaisha badala ya kujitosa kwenye uhalifu au mihadarati..