Back to homeWatch Original
Nyumba 9 zabomolewa kwenye mzozo wa ardhi eneola Bobasi, Kisii
video
September 2, 2025
9h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Familia moja kule Bobasi kaunti ya Kisii imelazimika kuvumilia kijibaridi kwa zaidi ya mwezi moja sasa baada ya makazi yao kubomolewa kwenye mzozo wa ardhi. nyumba zao tisa zimebomolewa na watu wanaodai kumiliki shamba hilo la ekari nane...