Back to home

Shule zatishia kufunga milango kufuatia ukosefu wa fedha

video
September 2, 2025
7h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Shule za sekondari nchini zinakabiliwa na hatari ya kufungwa baada ya serikali kuchelewesha fedha za kuendesha shughuli za masomo kwa mihula miwili sasa. Wakuu wa shule sasa wanahofia kuwa huenda wakalazimika kuwarejesha wanafunzi nyumbani iwapo serikali haitasambaza pesa hizo ha..