Back to home

Tume ya ardhi yasema imesuluhisha kesi 1,066 nje ya korti

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 17, 2026
4h ago
Tume ya ardhi nchini NLC imeendelea kukusanya taarifa kuhusu migogoro ya ardhi na dhuluma za kihistoria katika kaunti mbalimbali nchini. Kamishina wa Tume hiyo Tiyah Galgalo amesema jumla ya kesi 1,864 za migogoro ya ardhi zimewasilishwa na jamii kutoka maeneo tofauti, huku kesi
Advertisement