Back to home
Kamati yaondoa lawama kwa Mediheal, yapendekeza marekebisho ya sheria za upandikizaji viungo
video
C
Citizen TV (Youtube)April 15, 2026
2h ago
Uchunguzi wa kamati ya afya katika bunge la kitaifa kuhusu tuhuma za biashara haramu ya viungo katika hospitali ya mediheal umeiondolea lawama hospitali hiyo. Ripoti ya kamati hiyo hata hivyo, imefichua mapengo katika usimamizi wa huduma za upandikizaji viungo nchini.ripoti iliyo
Advertisement
Advertisement





