Back to home

Wahuni 170 wakamatwa Trans Nzoia, polisi waimarishwa kudhibiti vurugu za usajili wa kura

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 15, 2026
2h ago
Washukiwa 170 wanaohusishwa na visa vya uhuni kwenye mikutano ya kisiasa wanazuiliwa na polisi katika kaunti ya transzoia. Hii ni kufuatia tukio la jumamosi mjini Kitale, ambapo wahuni walijaribu kuvuruga shughuli ya usajili wa kupiga kura na kuathiri shughuli za kibiashara. Haya
Advertisement