Back to home
Kilimo biashara: Mihogo ya GMO yaimarika Kilifi kupitia utafiti wa KALRO
video
C
Citizen TV (Youtube)April 15, 2026
2h ago
Wakulima wa mhogo eneo la pwani wamekuwa wakihangaishwa na ugonjwa wa mchirizi kahawia pamoja na wadudu waharibifu. Ni jambo ambalo limekuwa likiwasababishia hasara kubwa na kuwakosesha mapato. Katika Kaunti ya Kilifi, mashamba ya majaribio ya mhogo ulioboreshwa vinasaba yanazidi
Advertisement
Advertisement





