Back to home

Wafanyabiashara Kiserian walalamikia ubomoaji wa vibanda vyao

video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali ya kaunti ya Kajiado imetoa ilani ya siku Saba kwa wafanyabiashara katika miji ya GP, kiserian na kibiku kajiado magharibi, ya kuondoa vibanda vilivyo nje ya maduka yao kwani viko katika maeneo ya barabara..