Back to homeWatch Original
Daktari ashambuliwa eneo la Cherangany Trans Nzoia
video
September 3, 2025
2h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Taharuki imetanda miongoni mwa wahudumu wa afya kaunti ya Trans Nzoia baada ya daktari mmoja kushambuliwa katika eneo la Cherangany, shambulizi linalodaiwa kufanywa na familia ya mgonjwa aliyemhudumia..