Back to home

Bunge kuanza kuwahoji walioteuliwa kuwa Mabalozi

video
September 3, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Maafisa walioteuliwa na Rais Willaim Ruto kuwa mabalozi wa mataifa tofauti leo wameanzahojiwa Bungeni. Waliohojiwa leo ni pamoja na aliyekuwa waziri Florence Bore ambaye alitakiwa kueleza kuhusu uhusiano wake na chama tawala cha UDA na iwapo uhusiano huo utatatiza majukumu yake. ..