Back to homeWatch Original
Wanajopo la kuongoza mchakato wa fidia waapishwa
video
September 4, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Jopo la wataalamu wataoongoza mchakato wa kuwalipa fidia waathiriwa wa maandamano linaapishwa leo katika mahakama ya juu. Baadaye jopo hilo linaloongozwa na mshauri wa Rais Profesa Makau Mutua litafanya kikao cha kwanza katika Jumba la KICC...