Back to home

Wafanyabiashara wa Jumba la Nanak Nairobi walalamika kudhulumiwa na mmiliki nyumba

video
September 4, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wafanyabiashara katika jumba la Nanak katikati ya jiji la Nairobi wamelalamikia kile wanadai ni kuhangaishwa na kudhulumiwa na mmiliki wanayedai anataka kuwafurusha baada ya kuongeza kodi ya nyumba kutoka mwezi septemba mwaka jana...