Back to homeWatch Original
Sheria ya mauaji
video
September 4, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Trans Nzoia Lilian Siyoi, ameitaka serikali kupitia Bunge kuangazia upya sheria zinazohusu mauaji, akisema kuwa washukiwa wa makosa hayo hawafai kupewa dhamana.Akizungumza katika eneo la Saboti, Siyoi ametoa kauli hiyo kutokana na kisa cha kusikiti..