Back to homeWatch Original
Shughuli za elimu zatatizika kwa sababu ya ukosefu wa pesa
video
September 5, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Serikali imendelea kushinikizwa kutoa fedha za kufadhili shule za upili na msingi kwani kuendelea kucheleweshwa kwa fedha hizo kunaendelea kulemaza utendakazi wa shule mbali mbali hali ambayo huenda ikaathiri hata matokea ya wanafunzi mwishoni mwa mwaka...