Back to home

Afisa wa DCI akamatwa Thika kwa mauaji ya waendeshaji boda boda

video
September 7, 2025
16h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Afisa mmoja wa idara ya DCI amekamatwa mjini Thika baada ya kuwapiga risasi na kuwaua waendeshaji bodaboda wawili karibu na Kituo cha Polisi cha Makongeni kufuatia ajali iliyohusisha gari lake na pikipiki...