Back to home

Wakenya kutazama tukio la kunaswa kwa mwezi usiku wa leo

video
September 7, 2025
19h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hii leo kuanzia saa mbili na nusu usiku, ulimwengu utashuhudiwa kupatwa kwa mwezi, tukio litakalodumu kwa takriban dakika 82. Hapa nchini bodi ya utalii kupitia kwa wizara ya utalii inaandaa hafla maalum huko samburu ambapo watalii kutoka mataifa mbalimbali duniani wanakongamana ..