Back to home
Mafuta Ghushi Mombasa: Watu 7 wakamatwa kwa biashara haramu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2025
6h ago
Washukiwa saba wamekamatwa huku wengine wanne wakisakwa katika sakata ya utengenezaji wa mafuta ghushi ya kupikia yanayodaiwa kuwa hatari kwa matumizi ya binadamu. Mamlaka ya kukabiliana na bidhaa ghushi nchini imevunja moja ya ofisi za eneo hilo na kupata stakabadhi muhimu zitak