Back to home
Ruto Miaka Mitatu: Serikali yasonga na ujenzi wa nyumba nafuu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2025
6h ago
Serikali imesema kuwa iko mbioni kutimiza ahadi ya nyumba milioni moja kufikia mwaka wa 2027 kupitia mpango wa nyumba za bei nafuu. Mradi huo ulioanza mwaka jana unalenga ujenzi w anyumba laki mbili kila mwaka. Na kama anavyoarifu brenda wanga, taifa linahitaji nyumba laki mbili