Back to home
Watu 2M wanakabiliwa na ukosefu wa chakula
video
C
Citizen TV (Youtube)September 10, 2025
2h ago
Takribani watu milioni mbili tayari wanakabiliwa na ukosefu mkubwa wa chakula nchini, huku maelfu ya watoto wakiwa kwenye hatari ya ugonjwa wa utapiamlo kutokana na ukosefu wa chakula. Ripoti ya hivi punde ya hali ya chakula nchini ambayo imetolewa na shirika la kutathmini utoshe