Back to home
Wakaazi wa Busia wakabiliwa na changamoto ya ugonjwa wa Selimundu
video
C
Citizen TV (Youtube)September 10, 2025
4h ago
Kuboreshwa kwa huduma na kuwepo kwa mashine za kisasa katika hospitali ya level 4 ya Amukura iliyoko katika eneo bunge la Teso ya kati kaunti ya Busia kumesaidia kubaini kwa haraka magonjwa sugu yanayowatatiza wakazi wa eneo hilo. Visa vya ugonjwa wa selimundu na kifafa vinazidi