Back to home

Majaji watoa onyo kuhusu uchochezi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 10, 2025
5h ago
Majaji wa mahakama ya upeo sasa wametoa onyo kuhusu uchochezi dhidi ya tume ya IEBC huku taifa likijiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027.