Back to home

Afrika kusini yabanwa na Nigeria

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 10, 2025
4h ago
Afrika kusini ilikosa nafasi ya kufuzu moja kwa moja kwenye kombe la dunia 2026 baada ya kubanwa sare ya bao moja na nigeria nyumbani. Hata hivyo wangali wanaongoza kundi c kwa alama 17 huku nigeria ikiwa ya tatu kwa alama 11