Back to homeWatch Original
Serikali yasambaza chakula cha msaada Mbeere Kusini na Mwea
video
September 2, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Takribani shule 200 za umma katika Kaunti Ndogo za Mbeere Kusini na Mwea, Kaunti ya Embu, zimepokea chakula cha msaada kutoka Serikali ili kuwasaidia wanafunzi kukabiliana na athari za ukame wa muda mrefu. Mgao huo, uliosimamiwa na Waziri wa Utumishi wa Umma Geoffrey Ruku, umejum..