Back to home

Polisi wanaendeleza uchunguzi kuhusu mauaji ya wakili Mathew Kyalo Mbubo

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2025
3h ago
Maafisa wa polisi wanaendelea na uchunguzi kuhusu mauaji ya wakili mathew kyalo mbubo aliyepigwa risasi katika barabara ya langata -magadi jijini nairobi siku ya jumanne..polisi wamepata baadhi ya picha za cctv zinazotumika katika uchunguzi wa mauaji hayo. Na kama anavyoarifu fra