Back to home

Uchunguzi wa maiti wafanyika katika makafani ya Lee

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 11, 2025
2h ago
Upasuaji wa maiti ya wakili aliyeuawa hapa nairobi Mathew Kyalo Mbubo unaendelea katika makafani ya lee. Wakili Mbubo alipigwa risasi katika barabara ya langata kwenda magadi jijini nairobi siku ya jumanne. Tuungane na Ben Kirui mubashara kutoka makafani ya Lee kwa mengi zaidi