Back to home

Baadhi ya viongozi wa Kisii wakutana na rais William Ruto ikulu ya Nairobi jana

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 12, 2025
2h ago
Rais William Ruto kwa Ushirikiano na Kiongozi wa ODM Raila Odinga wametoa wito wa umoja na ushirikiano baina ya Serikali za kaunti na serikali kuu ili kufanikisha Miradi Mbalimbali nchini. Viongozi hao walikuwa wakihutubia ujumbe maalum kutoka eneo la Gusii wakiongozwa na Gavana