Back to home

Ahmed Maalim Hassan atawania kiti cha Banisa kaunti ya Mandera

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 12, 2025
2h ago
Huku ikiwa imesalia miezi miwili kabla ya uchaguzi mdogo wa eneo bunge la Banisa kaunti ya Mandera kufanyika, wenyeji wengi wa eneo hilo wanampigia debe Ahmed Maalim Hassan kuwania kiti hicho.