Back to home

Msuskosuko serikalini katika uongozi wa Rais Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 13, 2025
2h ago
Miaka mitatu ya utawala wa Rais William Ruto imekumbwa na changamoto si haba za kisiasa, akilazimika kumpiga kalamu naibu wake Rigathi Gachagua na kubadilisha baraza lake la mawaziri mara tatu ndani ya miaka mitatu. Je, kushirikisha wandani wa kinara wa ODM Raila Odinga kwenye ba