Back to home

Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua amezidi kumkashifu Rais William Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 13, 2025
2h ago
Aliyekuwa Naibu rais rigathi gachagua amezidi kumkashifu Rais William Ruto na serikali yake, akitaja uongozi wake kama unaofuga ufisadi. Akizungumza katika kaunti za Kiambu, Muranga na Nyeri, Gachagua amesema kuwa eneo la mlima kenya halitampigia kura tena rais ruto akisema kuwa