Back to home

Gachagua ajipigia debe 2027, amkosoa Rais Ruto

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 14, 2025
2h ago
Aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anasema kuwa kampeni yake ya kuwania Urais haitakuwa ya ahadi hewa, bali itaegemea ukweli wa hali ya nchi akiapa kuimarisha uchumi kwa kufuata nyayo za Hayati Rais Mwai Kibaki. Gachagua pia amesema kuwa kauli ya Rais William Ruto kuhusu